Home Search Countries Albums

Ahsante Lyrics


Kuna wakati nilikutana na giza
Kwenye maisha yangu
Nikadhani ni mwisho wa maisha yangu
Lakini Baba ulinisaidia
Kuna wakati sikujua hatakama kesho kungekucha
Lakini mpaka Leo nipo hai kwa neema
Sijui niseme nini mbele zako aaah

Na na na na na na na na
Na na na na, na na na  a
Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza Leo Baba acha nishukuru
Ni mengi sana, siwezi sema
Nikamaliza yote uliyo nitendea
Na na na na na na na na
Na na na na, na na na  a
Nakushukuru uuuh
Ahsante Baba Ahsante Baba
Ahsante Baba, umenisaidia
Ahsante Baba Ahsante Baba
Ahsante Baba, oh oh oh oh

(Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza yale umenitendea
Yananitoa machozi
Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza yale umenitendea
Yananitoa machozi)
Oh Ahsante( Ahsante
Ahsante Ahsante Jehovah)
Sio nguvu wala akilizangu
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Umesimama upande wangu
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Umepigana na adui zangu
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Ume nifuta machozi
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Umenishika mkono
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Moyo wangu waku shukuru
(Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza yale umenitendea
Yananitoa machozi )

Oh Lord I thank you
(I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)
You are my protector
(I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)
You are my everything (I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)
I am safe in Lord
(I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ahsante (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ATOSHA KISSAVA

Tanzania

Atosha Kissava is a Annointed Worshiper & Praiser, singer/songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE