Home Search Countries Albums

No Control

AMBER LULU Feat. MABANTU

No Control Lyrics


Dapro on the track.

[VERSE 1: AMBER LULU]
Uwe babu ata baba eeh
Ntakuwa naye, issue pesa eeeh,nalipwa
Na utamu wa chungwa papai
Mixer divai sio samaki papa eeh
No jipya

Mechi moja na mimi
Baraka zisikinde msondo (sondo)
Kwangu hautoki ata upake vumbi la mkongo
Sichaguagi mimi, mwenye paki au mwenye dongo (dongo)
Kwangu pesa ndo ina matter

[CHORUS]
No control(control)
Kumaliza ni one for sure (for sure)
No control (control)
Wawezaje kuni control
Baba no kung'ang'ania
No kung'ang'ania
No kung'ang'ania
No kung'ang'ania


[VERSE 2 : MABANTU]
Kane
Nyumbani sio Tanga Kibichi
Na kwako nishafunga kiki
Nishachokanga na mabibi
Unipe watoto ikibidi

Kwako si hewani ni telephone
I wish uwe mama watoto
Lulu Amber, kule candy boy
Wanyamaze madoo unyama boy

Mama kwako nitakuwa dakitari
Si unapenda bia
Kwa kupanda nitaleta na kidari
Nawasha walo kuzima kibatari
Mimi kwako nina dhamira
Nikuchukue nikutunze mwari

[CHORUS]
No control (control)
Kumaliza ni one for sure (for sure)
No control (control)
Wawezaje kuni control

Baba no kung'ang'ania

No kung'ang'ania
No kung'ang'ania
Mabantu Bantu na Amber Lulu
No kung'ang'ania

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : No Control (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

AMBER LULU

Tanzania

Amber Lulu is a Bongoflava music artist, model and actress from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE