Home Search Countries Albums

Yanamiminika

AMBER LULU Feat. MARIOO

Yanamiminika Lyrics


[AMBER LULU]

Ukausokota (moyo)
Ukanivuruga (we kivuruge)
Ukausokota (kolo)
Kwa shuru baba P

Ukanichambua kama kalanga
Ukalivalia kibwebwe vanga
Ukakitupia shimoni chanda
Sikuwa na rahaa kutengana nawe
Hata nikitabasamu machozi

[CHORUS]
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh

[MARIOO]
Ilikua ni ndoto bado
Kwengine sina Kuniona (na na na)
Na nitakukadidhi  moyo (yo yo yo)
Basi tulishaanza fanana (fa na na)
Umeniacha dolo (do lo lo)
Kule kutapa tapa kama mfaa maji
Baridi inakuja inanichoma
We huna huruma  ndo kwanza uko singida dodoma
Mateso hujuma kweli napenda ila nakoma
Ukanipa na janga la moyo
Hata nikitabasamu machozi

[CHORUS]
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh

[Amber Lulu]
Ukanichambua kana kalanga
Ukalivalia kibwebwe vanga
Ukakitupia shimoni chanda
Sikuwa na rahaa
Kutengana nawe
Hata nikitabasamu machozi

[CHORUS]
Yanamiminika ee
Yanamiminika
Yanamiminika
Yanamiminika
Yanamiminika

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Yanamiminika (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

AMBER LULU

Tanzania

Amber Lulu is a Bongoflava music artist, model and actress from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE