Yanamiminika Lyrics

[AMBER LULU]
Ukausokota (moyo)
Ukanivuruga (we kivuruge)
Ukausokota (kolo)
Kwa shuru baba P
Ukanichambua kama kalanga
Ukalivalia kibwebwe vanga
Ukakitupia shimoni chanda
Sikuwa na rahaa kutengana nawe
Hata nikitabasamu machozi
[CHORUS]
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
[MARIOO]
Ilikua ni ndoto bado
Kwengine sina Kuniona (na na na)
Na nitakukadidhi moyo (yo yo yo)
Basi tulishaanza fanana (fa na na)
Umeniacha dolo (do lo lo)
Kule kutapa tapa kama mfaa maji
Baridi inakuja inanichoma
We huna huruma ndo kwanza uko singida dodoma
Mateso hujuma kweli napenda ila nakoma
Ukanipa na janga la moyo
Hata nikitabasamu machozi
[CHORUS]
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
[Amber Lulu]
Ukanichambua kana kalanga
Ukalivalia kibwebwe vanga
Ukakitupia shimoni chanda
Sikuwa na rahaa
Kutengana nawe
Hata nikitabasamu machozi
[CHORUS]
Yanamiminika ee
Yanamiminika
Yanamiminika
Yanamiminika
Yanamiminika
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Yanamiminika (Single)
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
AMBER LULU
Tanzania
Amber Lulu is a Bongoflava music artist, model and actress from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE