Nitie Upofu Lyrics

Mi kwako nguvu sina naheng'a naheng'a
Naheng'a naheng'a naheng'a naheng'a
Umenishika pabaya, nikikuona mwili unanitetema
Unanitetema unanitetema
Unavyosimamiga kucha miuno ya Fally Ipupa
Ukipanda wanashuka ndo ng'are ng'are
Ukinitomasa mi nakuvaa wee
Ni michezo ya shule ya sekondari
Nitie, nitie baba
Nitie, nitie baba
Nitie tunda, niitie
Nitie upofu wengine mi siwaoni
Nitie, nitie baba
Nitie, nitie baba
Nitie tunda, niitie
Nitie ukiziwi ya watu nisiwasikie
Hii ni ya Ganja misokoto
Nimepiga mingi sio kimoko
Nionyeshe Judo makarate
Nikirudi kwa chini nipakate
Ukiona inakwama we ikamate
Unavyosimamiga kucha miuno ya Fally Ipupa
Ukipanda wanashuka ndo ng'are ng'are
Ukinitomasa mi nakuvaa wee
Ni michezo ya shule ya sekondari
Nitie, nitie baba
Nitie, nitie baba
Nitie tunda, niitie
Nitie upofu wengine mi siwaoni
Nitie, nitie baba
Nitie, nitie baba
Nitie tunda, niitie
Nitie ukiziwi ya watu nisiwasikie
Ukipanda wanashuka ndo ng'are ng'are
Ni michezo ya shule ya sekondari
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Nitie (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
AMBER LULU
Tanzania
Amber Lulu is a Bongoflava music artist, model and actress from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE