Home Search Countries Albums

Hater Lyrics


Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Pombe nilewe
Hujanunua unune wee
Mwingine atetenywe
Hujatekenya ucheke wee

Chenga mbili tatu
Unajikuta Ronaldo
Unazuga kimombo
Wakati kibantu tu bado

Nikikunyima wiki unachamba(Chamba)
Pombe ya madanga ushamba(Ushamba)
Nitakuponza kiranga(Ranga)
Shuga kaza kitanda(Tanda)

Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Izo nge nge nge
Usilete kwangu hizo mbwe mbwe mbwe
Wataku che nde nde nde
Kwa hizo shepu zako za kisesembe

Oh la la, 
kumbe hata kwa Sango unaniendea
Kwangu sala, 
Ata kwa Mungu ninakuombea

Nikivaa nikipendeza
Roho yako inauma eeh
Nikipita natingisha
Roho yako inakunja wee

Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Hater (Single)


Copyright : (c) 2019 Lulu Mafia


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

AMBER LULU

Tanzania

Amber Lulu is a Bongoflava music artist, model and actress from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE