Nikupe nini ? Lyrics

Ayayayaya.. ya, umejawa wema na oooh
Ayayayaya.. ya. Yoyoyo… Oyeee
Umejawa wema na fadhili
Ahadi zote kwangu ni kweli
Umenitoa mbali
Bado nasimama katika kweli
Ayaya
Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Yayayaya ya
Sio kwasababu ya Mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi wa zako fadhili yoo
Nikupe nini, (Eh bwana)
Maana fadhili zako ( Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
Nikupe nini (eh bwana aah)
Nikupe nini (Eh bwana)
Maana fadhili zako (Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
Kwa pendo lako la ajabu
Nimefunikwa tu...
Wala tena sina tabu eh
Yesu kwangu ni tabibu
Sitaki tena rejea
Hadidu za matabibu
Wanadamu
Zimejawa takwimu za hofu
Zita niharibu uuh yea
Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Yoyoyo ... yayaya
Nikupe nini, (Eh bwana)
Maana fadhili zako ( Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
Nikupe nini (eh bwana aah)
Nikupe nini (Eh bwana)
Maana fadhili zako (Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Nikupe nini
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
ZORAVO
Tanzania
Harun Laston aka Zoravo is a singer, songwriter, worshipper & minister from Tanz ...
YOU MAY ALSO LIKE