Home Search Countries Albums

Nikupe nini ? Lyrics


Ayayayaya.. ya, umejawa wema na oooh
Ayayayaya.. ya. Yoyoyo…  Oyeee

Umejawa wema na fadhili
Ahadi zote kwangu ni kweli
Umenitoa mbali
Bado nasimama katika kweli
Ayaya

Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Yayayaya ya

Sio kwasababu ya Mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi wa zako fadhili yoo

Nikupe nini, (Eh bwana)
Maana fadhili zako ( Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
Nikupe nini (eh bwana aah)
Nikupe nini (Eh bwana)
Maana fadhili zako (Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)

Kwa pendo lako la ajabu
Nimefunikwa tu...
Wala tena sina tabu eh
Yesu kwangu ni tabibu
Sitaki tena rejea
Hadidu za matabibu
Wanadamu
Zimejawa takwimu za hofu
Zita niharibu uuh yea
Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Yoyoyo ... yayaya

Nikupe nini, (Eh bwana)
Maana fadhili zako ( Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
Nikupe nini (eh bwana aah)
Nikupe nini (Eh bwana)
Maana fadhili zako (Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)

 

 

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nikupe nini


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

ZORAVO

Tanzania

Harun Laston aka Zoravo is a singer, songwriter, worshipper & minister  from Tanz ...

YOU MAY ALSO LIKE