Nimesikia Sauti Lyrics
Nimesikia sauti nyiingi
Iliyoniponya ni ya YESU uuh!
Nimeambiwa habari nyiingi mi
Iliyo nivusha ni ya YESU
Nimesikia sauti nyingi sana mimi
Iliyo ni ganga moyo ni ya YESU
Nimeambiwa vitu vingi sana
Nilipo ambiwa na YESU nikapoona
Aah YESU ni tumaini
Mahali pamepoteza time
Nilipaza sauti ili watu wanielewe
Akanielewa Masia
Nikajaribu jitetea watu wajue
Akaniambia nimekutetea mwanangu
Akaniuliza una msikiliza nani
Nisikilize mwanangu utapona
Akasema ondoa aah kusikiliza wengine
Ukinisikiliza mimi utaishi
Nimesikia sauti za watu wengi
Lakini ya YESU ikaniponya eeeh!
Nimesikia (Sikia) sauti nyiingi
Ikiniambia, iliyoniponya (Endelea)
Ni ya YESU (Nimekujua aah!)
Nimesikia (Eeh) sauti nyiingi
Sauti ya YESU, Iliyoniponya (Ni ya upole)
Ni ya YESU uuh!
Aaaah ahsante YESU wangu
Umeponya wema wangu Baba aah
Uuuuh uuh hallelujah
YESU wewe ni wa wote eeh
Naomba Baba sikika kwa wengine
Wengi wamekosa, pakuelekea
Wakikusikia wewe watapona aaah
Wameambiwa hawataweza kabisa
Wakikusikia Masia wataweza
Ameambiwa hawana tumaini
Ukisikika kwao wataishi
Uliposikika Israel walitoka Misri
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Nimesikia Sauti (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MARTHA MWAIPAJA
Tanzania
Martha Mwaipaja is an influential Gospel Singer hailing from Tanzania in East Africa, and recognized ...
YOU MAY ALSO LIKE