Accueil Recherche Pays Albums

Genge

Y PRINCE

Genge Lyrics


Genge genge, mi nalifeel si genge
Genge genge, kwa ndugu na jirani
Genge genge, nalifeel si genge
Genge genge, unaogopa jamaaa

Kwachu kwachu, pachu pachu
Kila siku badu badu
Umoja wa genge ni kwangu

Peku peku tena bila viatu 
Na kibwebwe kiunoni
Umoja wa genge ni kwangu

Nilijua ni wenzangu
Kumbe ni adui zangu
Walimwengu hulka haina dawa

Kutwa maneno mengi gengeni
Stori nyingi jamani
Kulipa pesa foleni 
Ah lipeni madeni

Genge genge, mi nalifeel si genge
Genge genge, kwa ndugu na jirani
Genge genge, nalifeel si genge
Genge genge, unaogopa jamaa

Mbona wanauliza la
Y naringia nini
Wakataka ukate pole china li ndani

Kukopa vibiringanya
Wale wanazuru nini
Ila maneno maneno

Wanadamu wamezoea
Hata ufanya nini, hutoa ubaya
Ah hapa gengeni kutwa kujikalia
Kwa stori za ngoma vijora ni haswa

Genge genge, mi nalifeel si genge
Genge genge, kwa ndugu na jirani
Genge genge, nalifeel si genge
Genge genge, unaogopa jamaaa

Ah mtaa wa tatu amechambwa mtu (Amechambwa)
Mtaa wa tatu amechambwa mtu
Ah mtaa wa pili amechambwa mtu (Amechambwa)
Mtaa wa pili amechambwa mtu

Ah mtaa wa kwanza amepiwa mtu (Amepigwa)
Mtaa wa kwanza amepigwa mtu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Genge (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

Y PRINCE

Tanzanie

Y PRINCE  est un jeune chanteur tanzanien. ...

YOU MAY ALSO LIKE