Home Search Countries Albums

Lini

WYSE

Lini Lyrics


Hali yangu tete
Na we ndo chanzo
Unafanya wanischeke
Kutwa vikwazo

Kwenye mapenzi ni kiwete
Na we ndo mwendo
Natamani nikuwache
Ila moyo kikwazo

Nishafanya kila njia
Wala haunionyeshi dhamani
Haya machozi nikalia
Maumivu ya ndani kwa ndani

Hivi ni lini nitapona?
Pona, pona, pona
Mbona yananisonona?
Pona, pona, pona

Hivi ni lini nitapona?
Pona, pona, pona
Mbona yananisonona?
Pona, pona, pona

Umenipiga mtama
Niko chini chali 
Kila unachofanya
Mbona ni hatari

Hata ukiniona 
Unaninyari nyari
Punguza kununa
Nipate afadhali

Nishafanya kila njia
Wala haunionyeshi dhamani
Haya machozi nikalia
Maumivu ya ndani kwa ndani

Hivi ni lini nitapona?
Pona, pona, pona
Mbona yananisonona?
Pona, pona, pona

Hivi ni lini nitapona?
Pona, pona, pona
Mbona yananisonona?
Pona, pona, pona

Lini nitapona?
Oooh nipende
Nipende na mie

Free Nation

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Lini (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WYSE

Tanzania

Wyse is a singer/songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE