Umenishika Lyrics
Masauti, Kenyan Boy
Wini girl(Finest girl)
Mama(Umenishika shika)
(Its new Aloneym on the track)
Kama mapenzi tiba
Basi kwako nimeshapona
Kama mapenzi hasara
Ooh basi faida sijaiona
Kama mapenzi hesabu
Basi kwako nimefeli
Hakika kwako mi zuzu eeh
Umenishika shika
Beiby unanicontrol
Umeniteka umeni-overdose
Tukiwa kwenye show
Wanivuruga kabisa kama chizi
Oooh beiby unanicontrol
Na vile ukinitazama kichozi
Unanituliza fujo
Ninakuwa mpole
Unanimaliza beiby
Umenishika shika
Sina wa kumpa maana ushanichanganya
Umenishika shika
Na moyo wangu uko nyang'a nyang'a eeh
Umenishika shika
Usije ukanikimbia ukaniachia vumbi
Umenishika shika
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
(Ah yii)
Pongezi ziende kwa mganga
Aliyekufanya uniteke teke
Wewe umeniua kwa upanga
Tena ukanipiga kwa mateke
Umenifunga minyororo
Na kwako sipumui
Umenifunga kabisa mdomo
Na kwako siongei
Beiby unanicontrol
Umeniteka umeni-overdose
Tukiwa kwenye show
Wanivuruga kabisa kama chizi
Aaah beiby unanicontrol
Na vile ukinitazama kichozi
Unanituliza fujo
Mi nawa mpole aaah
Unanimaliza beiby
Umenishika shika(Shika)
Sina wa kumpa maana ushanichanganya
Umenishika shika(Shika beiby)
Na moyo wangu uko nyang'a nyang'a eeh
Umenishika shika(Shika ooh)
Usije ukanikimbia ukaniachia vumbi
Umenishika shika
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Nitakupa penzi la kiKenya(Tekenya)
I go give you love vi da lover(Tekenya)
Na unapotaka nitapenya(Tekenya)
Mi ndo Kenyan boy Don dada(Tekenya)
Nitakupa penzi la kiBongo(Tekenya)
I go give you lovi da loker(Tekenya)
Na unapotaka nitapenya(Tekenya)
Am the finest girl from Tanzania(Tekenya)
(The Mix Killer)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Umenishika (Single)
Copyright : © 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
WINI
Tanzania
Wini Masi is a fast rising female Bongo artiste from Tanzania. Beautiful vocals, mermersing dancer, ...
YOU MAY ALSO LIKE