Home Search Countries Albums

Mama

ASLAY

Mama Lyrics


Mama jamani mama, mama jamani
Mama jamani mama, mama jamani

Natamani nikufuate nikupe hata mkono
Lakini ndo siwezi
Wenye wasiwasi we waziba midomo
Unahitaji pongezi

Kazi yaenda kasi sijaona kikomo
Mama unaupiga mwingi
Hatuna wasiwasi tunalisoma somo
Mama si hatukupigi we

Mama pambana, achana na maneno yatakuchanganya
Visabina zabina ni wengi mama
Hata uwape nini watakusengenya 
Binadamu haturidhiki mama Samia

Oooh kazi iendelee
Tupate mapesa na tusherekee
Siku hizi machinga ni mapedeshe
Unapendwa na watoto vijana wazee
Wanakupenda wee

Mama, mama mama, mama Samia Suluhu
Mmemuona mama, mama Samia Suluhu
Rais wetu mama, mama Samia Suluhu
Vigelegele kwa mama, mama Samia Suluhu

Mama kwa kweli unapambana
Kama ni kiu basi we ni maji, twanenepeana
Mama tunakupenda sana
Umewapa nguvu na wawekezaji wanashindana
Mpaka raha

Najivunia kuzaliwa Tanzania
Najivunia pia rais wangu ni Samia
Mama kokoto, mama changanu
Hesabu za bara na pwani zote unazijua

Kila utokapo mi mwenzako nakuombea mama wee
Mama, jamani mama mama jamani
Chochote utakacho inshallah 
Mungu atakusimamia mama Samia wee
Mama, jamani mama mama jamani

Oooh kazi iendelee
Tupate mapesa na tusherekee
Siku hizi machinga ni mapedeshe
Unapendwa na watoto vijana wazee
Wanakupenda wee

Mama, mama mama, mama Samia Suluhu
Mmemuona mama, mama Samia Suluhu
Rais wetu mama, mama Samia Suluhu
Vigelegele kwa mama, mama Samia Suluhu

Jana, jamaa, vijana tunapambana
Ndo maana mama atupa fursa sana
Laana laana, tukimdharau mama
Kwa maana mama, hakuna kama mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mama (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ASLAY

Tanzania

Isihaka Nassoro  aka Dogo Aslay  is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...

YOU MAY ALSO LIKE