Usinijaribu Lyrics

Chozi la furaha
Mpaka nashangaa
Linanitokaa
Mmmh, ndugu ndugu kifuani
Lilonisumbua mimi
Linanitoka
Kwani hisia ziliniumiza
Kwenye moyo wangu
Nabaki nalia, nalia oooh aah
Mchana niliona kiza
Eeh Mola wangu
Mapenzi balaa, ooh ah...
Nilipiga magoti
Nikaota sugu kwenye miguu
Kubembeleza mapenzi
Nikamhonga honga
Nikatoa pesa kwenye vibubu
Ninakopenda sipendwi
Nishaumwa na nyoka
Mwenzako naogopa majani
Nisije nikakupa moyo wangu
Ukaeka rehani
Usinijaribu(Ooh wee eeh)
Danganya toto sitaki
Usinijari-ii, usinijaribu
Usinijaribu(Ooh wee eeh)
Danganya toto sitaki
Usinijari-ii, usinijaribu
Usini petipeti
Nikazama mazima
Nikashindwa kutoka
Mwisho ukaniacha nalia
Usinidanganye
Usinichanganye
Unifanye kilema wa mapenzi
Magongo uyashike weee
Nijibane bane(aiya)
Furaha upate wee(aiya)
Unifanye ka fisi mifupa
Minyama unakula wee
Nilipiga magoti
Nikaota sugu kwenye miguu
Kubembeleza mapenzi
Nikamhonga honga
Nikatoa pesa kwenye vibubu
Ninakopenda sipendwi
Nishaumwa na nyoka
Mwenzako naogopa majani
Nisije nikakupa moyo wangu
Ukaeka rehani
Usinijaribu(Ooh wee eeh)
Danganya toto sitaki
Usinijari-ii, usinijaribu
Usinijaribu(Ooh wee eeh)
Danganya toto sitaki
Usinijari-ii, usinijaribu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Usinijaribu (Single)
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
WINI
Tanzania
Wini Masi is a fast rising female Bongo artiste from Tanzania. Beautiful vocals, mermersing dancer, ...
YOU MAY ALSO LIKE