Home Search Countries Albums

Namba Moja

WALTER CHILAMBO

Namba Moja Lyrics


Wacha niseme, we ni namba moja
Umenifanya wa thamani wa pekee
Hakuna kama we, na sioni mwingine tena
Wakufanana nae, ila ni wewe bwana
Wakufanana nae, ila ni wewe bwana
And i believe, ni wewe pekee yako
And i believe, bila wewe nisingekuwepo

Maana uliniumba, kwa mfano wako we
Huo ni upendo usiolezeka
Uzuri na sifa zako, nitaimba milele
Ili wajue we ni, namba moja
Kwa maana uliniumba kwa mfano wako we
Huo ni upendo usiolezeka
Uzuri na sifa zako nitaimba milele
Ili wajue we ni, namba moja

We ni namba moja (we ni namba moja)
We ni namba moja (namba moja)
We ni namba moja (namba one) (namba one)
Namba moja
We ni namba moja (namba moja)
We ni namba moja, namba moja
We ni namba moja, namba moja
We ni namba moja, namba moja

Umekuwa mwaminifu, tena kwangu ni mwema
Umenipa uvumilivu, nimesimama tena
Hatua za maisha yangu, wazijua vyema
Umekuwa mwaminifu, tena kwangu ni mwema
Umenipa uvumilivu, nimesimama tena
Hatua za maisha yangu, wazijua vyema

And i believe, we ni namba moja
And i believe, you're the only one
Only one god
We ni namba moja, only one god
We ni namba moja, namba moja
We ni namba moja, namba one
Namba one, namba moja
We ni namba moja, namba moja
We ni namba moja , namba moja
We ni namba moja , namba moja
We ni namba moja

Maana uliniumba kwa mfano wako we
Huo ni upendo usiolezeka
Uzuri na sifa zako nitaimba milele
Ili wajue we ni namba moja

And i believe, wewe ni namba moja
And i believe, wewe ni namba moja
Namba moja , namba moja
Namba moja

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Namba Moja (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

WALTER CHILAMBO

Tanzania

WALTER CHILAMBO  is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...

YOU MAY ALSO LIKE