Home Search Countries Albums

Only You Lyrics


Iyee mmhh eh, iye mm eeh (Aaah)
Iyee mmhh eh (aaaah)
Hmmmm

Maisha yangu
Yana wewe Mungu
Tumaini la moyo
Kwako mim nimeliweka
Msaada Wa karibu bwana
Nitakusifu wewe tu
Na nitakutuza
Nitapolemewa na mizigo
Magonjwa na mateso
Sina wasiwasi tena
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
Gongo lako na fimbo yako
Vinanifariji bwana aaah

Umenifanya wa thamani (eeeeh)
Umenitoa matopeni (eeeh)
Umenikung'uta mavumbii (eeeeh)
Ukanibariki
Umenifanya hodari (eeehe)
Ukanipa ujasiri (eeeh)
Niliyekuwa sifai
Umenibariki

[CHORUS]
(Only you)
Only you (Jesus)
Only you
Elishadai (Only you)
Oooh Yeah (My god)
Adonai (Only you)
Only you Jesus (Jesus)
Ni wewe unanitosha mimi (only You)
Ni wewe unanifaa daima (my God)
Only you

Kila njia ya mtu ni sawa
Machoni pake mwenyewe
Bali bwana hupima mioyo
Mawazo tuliyonayo nafahamu
 naweza kujiona watakatifu
Ila mbele zake hasara
Roho ni wadhaifu uuh
Tujinyenyekeze mbele zake
Tupate thawabu milele
Kwa kumtumikia yeye tu

Yeye anaponyaa
Anaokoa
Halo halo  haloo
Kwangu ni mwaminifu
Huyu yesu
Nitapolemewa na mizigo
Magonjwa na mateso
Sina wasiwasi tena
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
Gongo lako na fimbo yako
Vinanifarijii bwana aaah

Umenifanya wa thamani (eeeeh)
Umenitoa matopeni (eeeh)
Umenikung'uta mavumbi (eeeeh)
Ukanibariki
Umenifanya hodari (eeehe)
Ukanipa ujasiri (eeeh)
Niliyekuwa sifai (eeeeh)
Umenibariki (yeah)

[CHORUS]
(Only you)
Only you … Jesus
Simba na Yuda
Only you uuh My God
Hakuna kama wewe (only you)
Nitang’ang ana na wewe (Jesus)
Jesus (only you)
Ni wewe pekee yako tu (My God)
Eeeh (Only you)
Baba Huruma eeh (Jesus)
Mwingi wa rehema eeeh (only you)
Hakuna kama wewe (My God)
Mwenye Kutoa buree (only you)
Unayetupenda (Jesus)

Aaaah eeehhh (only you)
Yesu wangu (My God)
Baba yangu
(Walter)

 

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Only You (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

WALTER CHILAMBO

Tanzania

WALTER CHILAMBO  is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...

YOU MAY ALSO LIKE