Ni Salama Rohoni (Tenzi za rohoni) Lyrics

Nionapo amani kama shwari
Au nionapo shida
Kwa hali zote umenijulisha
Ni salama rohoni mwangu
Salama Salama
Rohoni Rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Nionapo amani kama shwari
Ingawa Shetani atanitesa
Nitajipa moyo kwani
Kristo ameona unyonge wangu
Amekufa kwa roho yangu
Salama Salama
Rohoni Rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Dhambi zangu zote wala si nusu
Zimewekwa Msalabani
Wala sichukui laana yake
Ni salama rohoni mwangu
Salama Salama
Rohoni Rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Ee Bwana himiza siku ya kuja
Panda itakapolia
Utakaposhuka sitaogopa
Ni salama rohoni mwangu
Salama Salama
Rohoni Rohoni
Ni salama rohoni mwangu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2014
Album : Ni Salama Rohoni (Tenzi za rohoni) (Single)
Copyright : ©2014
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE