Home Search Countries Albums
Read en Translation

Mwaka Lyrics


Naumaliza Mwaka hivyo

Na nauanza mwaka huo

Naumaliza Mwaka hivyo

Na nauanza mwaka huo

Jamani mwaka huo

Jamani mwaka huo

Asante Mungu umenilinda

January to December

Umeniepusha na mengi hata sijafa

Kweli Mungu unanipenda

Niliomba kidogo umenipa.. vikubwa

Mi na mizigo yangu yote.. umebeba

Japo wapo walonicheka baba

Wakati naanza plan za maisha wakanikatisha tamaa

Mungu si Selemani

Ona amenipa na mimi

Ukistaajabu ya Musa

Basi utayaona ya Firauni

Walifunga kushoto (walifunga kushoto)

Kafungua kulia (kafungua kulia)

Mungu amenitetea (Mungu amenitetea)

Wamechanganyikiwa (wamechanganyikiwa)

Naumaliza mwaka hivyo oohh

Na nauanza mwaka huo oohh

Naumaliza mwaka hivyo oohh

Na nauanza mwaka huo oohh

Basi piga kelele aaeehh aaeehh

Kama bado una hema we aaeehh aaeehh

Wengi walitamani kuwa kama wewe aaeehh aaeehh

Aaaeeehhh ....aaeehh aaeeehhh

Nimependelewa

kati ya walio hai nimehesabiwa

Na namshukuru Mungu

Kwa yote ..hata kwa yale hajayatenda aaaahhh

Kanipa Nyumba

Kanipa Gari,kanipa kazi

Kanipa ndoa,kanipa watoto

Amenipa amani,ameniheshimisha

Mungu si Selemani

Ona amenipa na mimi

Ukistaajabu ya Musa

Basi utayaona ya Firauni

Walifunga kushoto (walifunga kushoto)

Kafungua kulia (kafungua kulia)

Mungu amenitetea (Mungu amenitetea)

Wamechanganyikiwa (wamechanganyikiwa)

Naumaliza mwaka hivyo oohh

Na nauanza mwaka huo oohh

Naumaliza mwaka hivyo oohh

Na nauanza mwaka huo oohh

Basi piga kelele aaeehh aaeehh

Kama bado una hema we aaeehh aaeehh

Wengi walitamani kuwa kama wewe aaeehh aaeehh

Aaaeeehhh ....aaeehh aaeeehhh

Jamani Mwaka huooo..aaeehh aaeehh

Unaisha na unaanza huo..aaeehh aaeehh

Sema Asante we kama mzima..aaeehh aaeehh

Kuna wengine hawapo tena..aaeehh aaeehh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

WALTER CHILAMBO

Tanzania

WALTER CHILAMBO  is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...

YOU MAY ALSO LIKE