Dunia Lyrics

Nikifikiria dunia huwaga sipati jibu
Nawaza mpaka nadata
Nikikuuliza nini dunia huwezi kunipa jibu
Hapo ndo napata utata
Mmmh muda mwingine unaweza dhani ni utani
Mbona vitu vizuri vyote viwe ni vya shetani
Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani
Naamini Mungu yupo najua
Ndo ananifanya ninapumua
Akitaka hata sasa ananichukua
Ila mi nataka kujua
Ni nini dunia, dunia dunia dunia
Hivi ni nini dunia
----------------------
Nikifikiria dunia huwaga sipati jibu
Nawaza mpaka nadata
Nikikuuliza nini dunia huwezi kunipa jibu
Hapo ndo napata utata
Mmmh muda mwingine unaweza dhani ni utani
Mbona vitu vizuri vyote viwe ni vya shetani
Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani
Naamini Mungu yupo najua
Ndo ananifanya ninapumua
Akitaka hata sasa ananichukua
Ila mi nataka kujua
Ni nini dunia, dunia dunia dunia
Hivi ni nini dunia
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : High School (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
HARMONIZE
Tanzania
Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...
YOU MAY ALSO LIKE