Home Search Countries Albums

Alitakalo Analitenda

UPENDO NKONE

Alitakalo Analitenda Lyrics


Mungu kule mbingu juu
Kila alitakalo lolote analitenda
Yeye ni mwenye nguvu sana
Lile alilopanga yeye huezi zuia

Upitapo kwenye shida na nyakati ngumu
Nyakati za maumivu pia za machozi mengi
Wewe usilalamike wala usimkufuru Mungu
Mwenyewe ameruhusu upite hatokuacha

Faraja iliyo ya kweli inatoka kwa Mungu
Tulia mwachie Mungu yeye anajua yote
Mapito ni lazima tupite 
Ili utumishi wetu sisi uimarike

Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie
Maana ni kweli una maumivu moyoni
Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze
Farijika kubali mapenzi ya Mungu

Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie
Maana ni kweli una maumivu moyoni
Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze
Farijika kubali mapenzi ya Mungu

Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie
Maana ni kweli una maumivu moyoni
Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze
Farijika kubali mapenzi ya Mungu

Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 

Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 

Ona machozi yanatutoka
Tumehuzunika mioyo imeumia 

Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 

Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 
Utufariji ee Bwana tumeumia 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Alitakalo Analitenda (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

UPENDO NKONE

Tanzania

Upendo Nkone is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE