Home Search Countries Albums

Teveva

TIMAM

Teveva Lyrics


Maisha bila yesu kitenda wili nitawezanaje
Ilhali nimezungukwa na pingamizi kilamahali
Nikiwa nawe ni sure bet
Weh ni kinga siwezi fret
Nikiwa na yesu ndani, Anatembea nami
Nikiwa Hapo uweponi mwako nakufa ganzi
Kwa nyumba yako heri nikuwe kijakazi
Kama itanilazimu nifunge lango
Mimi bora niwe hapo, Uweponi mwako me nimekamilika

Nitateveva bila wehhh, Wema wako
Usiniwache kila day,nitembee na we...we...we
Nitateveva bila wehhh, Wema wako
Usiniwache kila day,nitembee na we...we...we

Nikiwa solo sitoboi, naisema wazi
Bila weh hata na masilver na ugoro bado niko empty
Na kama baridi ya Tigoni, Haimalizwi na kikoi
Hivo ndivo me huwanga bila wewe, me hubaki hoi
Ndio maana utanipata uweponi mwako nikimiminika
Vile ulipendaga mtu kama mimi manze hunitisha
Macho yako yako kote mimi wapi ningejificha
Napiga hesabu yangu bila wewe haiwezi jipaa....ehhhhh

Nitateveva bila wehhh, Wema wako
Usiniwache kila day,nitembee na we...we...we
Nitateveva bila wehhh, Wema wako
Usiniwache kila day,nitembee na we...we...we
Nitateveva bila wehhh, Wema wako
Usiniwache kila day,nitembee na we...we...we
Nitateveva bila wehhh, Wema wako
Usiniwache kila day,nitembee na we...we...we

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Teveva (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

TIMAM

Kenya

Timam is a singer/songwriter, worshiper based in Nairobi, Kenya. His music is themed on Christian l ...

YOU MAY ALSO LIKE