Nimefika Lyrics

Kakiwa kameshikana we ndio mwangaza
Katika maji ya utulivu hunilaza
Wewe ndio ngao yangu
Tumaini langu ni weee
Umekuwa nami tangu day one hujang'ada
Hakika wema wako kote ntatangaza
Niwambie Wewe ndio ngao yangu
Tumaini langu ni wee
Kwako nimefika, Sitaki raundi, Sikuchochi Nimefika
Nitaenda wapi Bila wewe
Nimefika, Sitaki roundi sikuchochi Nime...Fiiika yahwehhh
Naweka mambo wazi kwako nimepata makaazi
Punguza ujuaji wanguuu
Mbali nawe me sitaki, hata wanijaribu na ganji
Nimekwama, Nimekwama kwakoooo
Nakumbukaga nilipobisha, Ulifungua mlango nikaingia
Umenipa mbisha ya upendo true
Haubagui Nasitasita, Kila niwazapo
Umbali huu ni weeee...ehhhhh...ehhhhhh
Mchungaji Niwe
Kwako nimefika, Sitaki raundi, Sikuchochi Nimefika
Nitaenda wapi Bila wewe
Nimefika, Sitaki roundi sikuchochi Nime...Fiiika yahwehhh
Kwako nimefika, Sitaki raundi, Sikuchochi Nimefika
Nitaenda wapi Bila wewe
Nimefika, Sitaki roundi sikuchochi Nime...Fiiika yahwehhh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Nimefika (Single)
Copyright : ©2022 Administered by Timam Evans
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
TIMAM
Kenya
Timam is a singer/songwriter, worshiper based in Nairobi, Kenya. His music is themed on Christian l ...
YOU MAY ALSO LIKE