Home Search Countries Albums

Nimefika

TIMAM

Nimefika Lyrics


Kakiwa kameshikana we ndio mwangaza
Katika maji ya utulivu hunilaza
Wewe ndio ngao yangu
Tumaini langu ni weee
Umekuwa nami tangu day one hujang'ada
Hakika wema wako kote ntatangaza
Niwambie Wewe ndio ngao yangu
Tumaini langu ni wee

Kwako nimefika, Sitaki raundi, Sikuchochi Nimefika
Nitaenda wapi Bila wewe
Nimefika, Sitaki roundi sikuchochi Nime...Fiiika yahwehhh

Naweka mambo wazi kwako nimepata makaazi
Punguza ujuaji wanguuu
Mbali nawe me sitaki, hata wanijaribu na ganji
Nimekwama, Nimekwama kwakoooo
Nakumbukaga nilipobisha, Ulifungua mlango nikaingia
Umenipa mbisha ya upendo true
Haubagui Nasitasita, Kila niwazapo
Umbali huu ni weeee...ehhhhh...ehhhhhh
Mchungaji Niwe

Kwako nimefika, Sitaki raundi, Sikuchochi Nimefika
Nitaenda wapi Bila wewe
Nimefika, Sitaki roundi sikuchochi Nime...Fiiika yahwehhh
Kwako nimefika, Sitaki raundi, Sikuchochi Nimefika
Nitaenda wapi Bila wewe
Nimefika, Sitaki roundi sikuchochi Nime...Fiiika yahwehhh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Nimefika (Single)


Copyright : ©2022 Administered by Timam Evans


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

TIMAM

Kenya

Timam is a singer/songwriter, worshiper based in Nairobi, Kenya. His music is themed on Christian l ...

YOU MAY ALSO LIKE