Home Search Countries Albums

Wamerudiana

SARAPHINA

Wamerudiana Lyrics


N’tam tazamaje
N’tam tazamaje
N’tam tazamaje

Hayaishi ooh
Mawazo hayaniishia
Hayaishi ooh
Hayaishi ooh
Siishiwi kukufikiria
Hayaishi ooh

We si uliniambia
Ulipotoka nyuma uliumizwa
Ukateswa ukaumia
Mapenzi, ukachukia
Tena ukanambia
Umeshachoka kutwa kulizwa
Ulikosea njia
Ulidhani mwanga kumbe giza
Ulinidanganya
Mi wa kufa kuzikana
Name nikazama
Kukupenda Baba
Ye si ndo alofanya
Ukalia sana
Moyo ukaugawanya
Mbona mmerudiana
Me siamini tena mapenzi
Wamerudiana
Wamerudiana
Ndo yule alomuumizaga
Wamerudiana
Alouponda moyo wake
Wamerudiana

Kumbe n’lipoteza muda
Kumpigia guitar mbuzi
Sikuju ungekuwa yuda
Ningepata maudhi
Mengi uliniambia
Haumpendi unamchukia
Nyongo imetumbukia
Hautaki hata kumsikia
Mnyonge nikakuhurumia
Chozi n’kakufuta pia
Yote yamesahaulika
Leo umemrudia
Yeallah bi huruma yangu
Ndio hiyonipopnza
Niliompa moyo wangu
Kanipa kidonda
Ulinidanganya
Mi wa kufa kuzikana
Name nikazama
Kakupenda Baba
Ye si ndo alofanya
Ukalia sana
Moyo ukaugawanya
Mbona mmerudiana
Siamini tena mapenzi
Wamerudiana
Wamerudiana
Ndo yule alomuumizaga
Wamerudiana
Alouponda moyo wake
Wamerudiana

N’tamtazamaje
N’tamtazamaje

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Wamerudiana (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

SARAPHINA

Tanzania

Saraphina Michael is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE