Home Search Countries Albums

Mapepe

PLATFORM

Mapepe Lyrics


Kama ikitokea amani ya moyo imetoweka
Ah bora kunizika, kuliko kukukosa
Eh Nahata kama ikitokea nipo kwenye shida  
Aah mi nimeridhika siwezi kukutosa
Mmmh alafu nikwambie ewe eeh umeishika pumzi
Pumzi ya mapenzi
Chochote niambie ewe eeh
Yani kama chizi chizi wa mapenzi
Nami virago vyangu ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakuta wewe eh
Lango ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakutaka taka

Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia

Mmh nimetulia tulia alafu nina amani hasa ninapokuwa na wee
Eeeh tulichumia vya juani tukaishinda mitihani ah wewe
Mimi furaha yangu ndio wewe
Aah wewe ndio hao marafiki vijini mmh
Wasiopenda uwe na mimi
Mmh
Watasubiri subiri  eeh iye
Walidhani hutokua wa mimi
Ona wanavyodhalikika sie tunapeta na jiji  
Nami virago vyangu ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakuta wewe eh
Lango ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakutaka taka

Aaah aaah aah aah aah aah
Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Nimetulia nimetuli sina mbambamba
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Aah nimeunaliza mwendo aah mwendo mwendo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Mapepe (Single)


Copyright : © 2023 Abbah Music


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

PLATFORM

Tanzania

Platform is a Bongo Flava recording artist/ Singer/ Songwriter/ dancer and a businessman from Tanga, ...

YOU MAY ALSO LIKE