Mapepe Lyrics

Kama ikitokea amani ya moyo imetoweka
Ah bora kunizika, kuliko kukukosa
Eh Nahata kama ikitokea nipo kwenye shida
Aah mi nimeridhika siwezi kukutosa
Mmmh alafu nikwambie ewe eeh umeishika pumzi
Pumzi ya mapenzi
Chochote niambie ewe eeh
Yani kama chizi chizi wa mapenzi
Nami virago vyangu ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakuta wewe eh
Lango ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakutaka taka
Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Mmh nimetulia tulia alafu nina amani hasa ninapokuwa na wee
Eeeh tulichumia vya juani tukaishinda mitihani ah wewe
Mimi furaha yangu ndio wewe
Aah wewe ndio hao marafiki vijini mmh
Wasiopenda uwe na mimi
Mmh
Watasubiri subiri eeh iye
Walidhani hutokua wa mimi
Ona wanavyodhalikika sie tunapeta na jiji
Nami virago vyangu ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakuta wewe eh
Lango ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakutaka taka
Aaah aaah aah aah aah aah
Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Nimetulia nimetuli sina mbambamba
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Aah nimeunaliza mwendo aah mwendo mwendo
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Mapepe (Single)
Copyright : © 2023 Abbah Music
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
PLATFORM
Tanzania
Platform is a Bongo Flava recording artist/ Singer/ Songwriter/ dancer and a businessman from Tanga, ...
YOU MAY ALSO LIKE