Anaolewa Lyrics
Ety ametunza bikra yake mbaka hizi enzi
Za uzee sisi tuliwaita mbwa
Ye akutaka wa mbwekee si tulikuza biashara
Ye alikuza kalio leo kwao kuna harusi ety leo anaolewa
Nikimfikiria mbaka nakosa uhondo
Ye apakiwe kwenye gari si ndo tupakiwe mkongo
Unaachaje nyumba chafu uende kusafisha kucha
Ona sasa unaumbuka ety leo anaolewa
Kadada gani mbona kanaleta fujo kwnaza kalivunja
Chaga kabla hakaja vunja ungo leo
Kanashika pete situnashika adabu kanaenda kula maisha situnakula adhabu
Wanaomjua vizuri wala hawajilegezi
Ukituma yakutolea anakuja amevaa pedi
mbaka ameolewa ameptia vingi alikwepa vya tipsi kaingia kidimbwi
Anaolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
Anolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
Anaolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
Anolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
Hashatoroka kwenda kufuata ukimwi
Kapewa mimba na ujawh kuzini tujiande basi
Kwenda harusini sitaki kukosa siti sitaki sitaki kuhadithiwa yule binti ni morogoro
Yan mji kasoro anaringia kichwa kikubwa akati anakalio dogo
Tatizo shoga unajifanya uoni ulipewa hela ya p2 we ukanywa piriton
Wanaomjua vizuri wala hawajilegezi ukituma yakutolea
Anakuja amevaa pedi mbaka ameolewa ameptia vingi
Alikwepa vya tipsi kaingia kidimbwi
Anaolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
Anolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
Anaolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
Anolewa anaolewa
Anaolewa ety anaolewa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Son of the Pastor (EP)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YUZZO MWAMBA
Tanzania
Yuzzo Mwamba, Born Yusuph Nizar is a HipHop artist who emerged after winning the bongo star search c ...
YOU MAY ALSO LIKE