Home Search Countries Albums

Bwana Ni mchungaji

REUBEN KIGAME

Bwana Ni mchungaji Lyrics


Bwana Ni Mchungaji wangu
Sitapungukiwa Kitu
Hulaza kwenye majani mabichi
Hunongoza Kwa maji Matulivu
Hunihuisha nafsi yangu
Huniongoza kwa njia Za Haki
Nipitapo bondeni mwa mauti
Sitaogopa wewe u nami
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Gongo lako na Fimbo yako
Vinanifariji mimi
Huandaa meza
Mbele yangu
Machoni pa watesi wangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Bwana Ni mchungaji (Single)


Copyright : ©2019


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

REUBEN KIGAME

Kenya

Reuben Kigame is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE