Home Search Countries Albums

Huniachi

REUBEN KIGAME

Huniachi Lyrics


Umeahidi wewe bwana huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni mungu uliye mwaminifu siku zote
Mimi ninaiweka imani yangu kwako baba
Unalijua jina langu ewe bwana huniachi

Unatengeneza njia hata mito kule jangwani
Wewe ndiwe alpha na omega huniachi
Ukamtoa danieli kutoka tundu la simba
Wewe huwainua na wanyonge siku zote

Watuepusha na hatari kila siku usifiwe
Marafiki nao wanaweza nigeuka
Mara kwa mara maadui wanizunguka
Nitaishi kwa ahadi yako bwana huniachi huniachi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Huniachi (Single)


Copyright : ©2017


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

REUBEN KIGAME

Kenya

Reuben Kigame is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE