Mastory Lyrics
Buga mi sipendi mastory
(buga mi sipendi mastory)
Mami uko fine don't worry
(mami uko fine don't worry)
Hakuna noma hakuna ngori(ngori eeh)
Usijam sana ushike mori
You looking fine unakaa better fine
My terry ana peperuka(mmmh)
Kila fisi anataka kukukuta
'Cause you are so beautiful my girl
Lakini unanichanganya beiby
Una machali wengi friendly
Sikucheki kila weekendi
I gotta feel some jealousy
Me nakupenda beiby daily
I gotta kiss you beiby daily
Lazima nikushow my beiby am so jealous buga
Buga mi sipendi mastory
(buga mi sipendi mastory)
Mami uko fine don't worry
(mami uko fine don't worry)
Niko powu sina mambo
Kata maji and i love you
Wewe ni wangu, mimi ni wako
Mimi ni wako oooh...niko ndaani...
Nilianza taratibu mwendo
Nikujue kiundani
Pendo lajaa nyingi skendo
Unakosa kitu gani
Sikutaka fumba macho
Wala masikio nisisikie
Sio kwa mazuri yako
Na mabaya niyashuhudie eeh
Mbosso mi sipendi mastory
(mbosso mi sipendi mastory)
Kila siku kunifanya mdori
( kunifanya mdori)
Mambo ya kudanganya na yashaishaga zamanii
Kama matuktuk kupelekeshana ndo mapenzi ganii?
Mbosso mi sipendi mastory
(mbosso mi sipendi mastory)
Kila siku kunifanya mdori
( kunifanya mdori)
Niko powu sina mambo
Kata maji and i love you
Wewe ni wangu, mimi ni wako
Mimi ni wako oooh...niko ndaani...
Tell me something beiby that i don't know
Tabia zako saa za nikeraa
Niko powu sina mambo
Kata maji and i love you
Wewe ni wangu, mimi ni wako
Mimi ni wako oooh...niko ndaani...
Unanidundisha dundisha kwa roho yangu
Umekosa nini? Unataka nini?
Nikupe nini utulie
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Mastory (Single)
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GABU
Kenya
GABU, born Gabriel Kagundu in Nairobi, is a Kenyan Artist, rapper, Singer, Songwriter and Perfo ...
YOU MAY ALSO LIKE