Unamwonaje Lyrics
Kanazingua, kanazingua
Ooh nana kanazingua
Kanazingua, ooh nana
She is so sexy, hanaga mawenge wenge
Kama mbio za kangaroo
Uwanga ni kepesi, vituko denge denge
Nitamhonga Bungalow
Ona amenishika shikika na
Hajaniita naitika jamaa
Kwake mi nafarijika sana
Oyaa oyaah ah
Waambie, huku mambo mbaya
Mwenyekiti kawa baba ubaya
Waambie kimenuka mambo fire
Zeze wako si wa kaya
Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni
Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni (Safi tu)
Nikpeleke msondo wee
Gome wee, goma wee
Karidhika na uhondo
Wa nyama choma wee, choma wee
Utamu kwa mbalii
Ila akinigusa mi napata mcheta
Natoa asali
Penzi mtelezo nishaachanga ndeta yeah
Oooh mamacita, akiiniita
You love me, love you too beiby
Waambie, huku mambo mbaya
Mwenyekiti kawa baba ubaya
Waambie kimenuka mambo fire
Zeze wako si wa kaya
Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni
Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni (Safi tu)
Kanazingua, kanazingua
Ooh nana kanazingua
Kanazingua, ooh nana
Oooh wahuni wangu mapanga
Wale wapenda kudanga
Mgonjwa katibu mganga
Segere limekuwa banda
Oooh wahuni wangu mapanga
Wale wapenda kudanga
Mgonjwa katibu mganga
Oooh oooh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Nipokee/ Unamwonaje (EP)
Copyright : (c) 2020 Lykos Empire 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
PRODUCER BONGA
Tanzania
Producer Bonga is a Musician | Sound Engineer | Music Producer signed under Lykos empire from Tanzan ...
YOU MAY ALSO LIKE