Home Search Countries Albums

Unamwonaje

PRODUCER BONGA

Unamwonaje Lyrics


Kanazingua, kanazingua
Ooh nana kanazingua
Kanazingua, ooh nana 

She is so sexy, hanaga mawenge wenge 
Kama  mbio za kangaroo
Uwanga ni kepesi, vituko denge denge
Nitamhonga Bungalow

Ona amenishika shikika na
Hajaniita naitika jamaa
Kwake mi nafarijika sana
Oyaa oyaah ah

Waambie, huku mambo mbaya
Mwenyekiti kawa baba ubaya
Waambie kimenuka mambo fire
Zeze wako si wa kaya

Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni

Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni (Safi tu)

Nikpeleke msondo wee
Gome wee, goma wee
Karidhika na uhondo 
Wa nyama choma wee, choma wee

Utamu kwa mbalii
Ila akinigusa mi napata mcheta
Natoa asali 
Penzi mtelezo nishaachanga ndeta yeah

Oooh mamacita, akiiniita
You love me, love you too beiby

Waambie, huku mambo mbaya
Mwenyekiti kawa baba ubaya
Waambie kimenuka mambo fire
Zeze wako si wa kaya

Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni

Mnamwonaje? Eeh
Wanangu wa kinondoni (Poa tu)
Au mnasemaje? Eeh
Tumwanike kikaangoni (Safi tu)

Kanazingua, kanazingua
Ooh nana kanazingua
Kanazingua, ooh nana

Oooh wahuni wangu mapanga
Wale wapenda kudanga
Mgonjwa katibu mganga
Segere limekuwa banda

Oooh wahuni wangu mapanga
Wale wapenda kudanga
Mgonjwa katibu mganga
Oooh oooh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nipokee/ Unamwonaje (EP)


Copyright : (c) 2020 Lykos Empire 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PRODUCER BONGA

Tanzania

Producer Bonga is a Musician | Sound Engineer | Music Producer signed under Lykos empire from Tanzan ...

YOU MAY ALSO LIKE