Home Search Countries Albums

Chuki

PLATFORM

Chuki Lyrics


(Its new Aloneym pon the track)

Dalili ya mvua mawingu na mapenzi ni vita
Ndo nikuambie nilishapiga na tunguli
Kusaka amani ya penzi langu
Ila haikupatikana

Najua ulinivisha na kilemba cha ukoka
Nikiamini ni kata
Na natambua haya mapenzi ni vita mazima
Ukakata na shina

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu
Hadi na nuru ikazima

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu

Chuki, chuki
Chuki, chuki

Nimeyanawa kwa viganja vyangu viwili
Yote sawa
Siwezi ng'ang'ana na pendo
Oooh unione chawa

Mapenzi pipi wana-share
Siku hizi hakuna tena kupendana
Na hata ukikaza utalegeza
Na mwisho wa siku mtabwagana

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu
Hadi na nuru ikazima

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu

Chuki, kwako kunidanganya
Wanipenda sana, moyo ukaujenga
Chuki, ukazichanganya 
Hasi ikawa chanya, moyo ukaujenga

Chuki, ulo nifanya niyachukie na mapenzi
Ni wewe
Chuki, oooh yeah yeah
Atonipenda sana, nipenda sana wowowowo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Chuki


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PLATFORM

Tanzania

Platform is a Bongo Flava recording artist/ Singer/ Songwriter/ dancer and a businessman from Tanga, ...

YOU MAY ALSO LIKE