Home Search Countries Albums

Sumu Baridi

Z ANTO

Sumu Baridi Lyrics


Sikutamani uende mbali nami
Kwa jinsi ulivyokuzoea
Wandoko umechuya moyoni ndani
Unaniwinda bila ya kujua

Shoga zako walisema una roho mbaya
Nikawapuuza nikawaona wabaya
Wengine wakasema siri zangu unazimwaga
Nikawacheki kwa mathara

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Nilijua penzi lako tiba
Lingeponya maradhi yangu
Kumbe pendo lako limekula mwiba
Limechoma moyo wangu

Umenifanya niwe na roho mbaya
Ila anayenipenda naona wale wale
Mapenzi yamenikaba pabaya oooh

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi 
Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi 
Everybody
Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sumu Baridi (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

Z ANTO

Tanzania

Z Anto is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE