Kinoma Lyrics

I gotta hate y'all nigga
Yeah, okey
Hela kama sina mi huwanga nadunduliza
Nikijumlisha ya hasira inakuwa kinoma island
Dem kama hataki mi huwaga nahonga sana
Na akijaga maghetoni namla kinoma island
Harusi kuchangia ni hiari
Lakini ona vile uyo mtu atakudai kinode island
Kodi sijashindwa kulipa nimechelewa
Unataka kunitolea vitu ile kinoma
Sisi machizi tunaacha
Ila madem wanaacha ile kinoma noma
Sisi machizi tunahonga
Ila madingi wanahonga kinoma island noma
Noma noma, jua noma noma
Ukiibutua, noma noma
Wataichukua, noma noma
Island kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, eeh kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Okey, nani airidhishe, mziki wa jamii
Watu wanaimba matusi, kinoma noma
Kwenye mitandao, mengi maarifa
Ila watu wanagoogle matusi, kinoma noma
Huko darasani, hesabu huziwezi
Ila mjini unahesabu mabwana, kinoma noma
Umetoka kanisani, shetani humuwezi
Maana kwake kuna mabata, kinoma noma
Yeah,
Kwenye ndoa mlokole, ukifanya polepole
Kwa mchepuko unapiga uno, kinoma noma
Soka the Bongo, Simba na Yanga
Na tunawanga kinoma island noma
Noma noma, jua noma noma
Ukiibutua, noma noma
Wataichukua, noma noma
Island kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, eeh kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Noma (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE