Home Search Countries Albums

Unirehemu Lyrics


Unirehemu Mungu unirehemu
Mimi Bwana mungu wangu naja
Maana nafsi yangu imekukimbilia wewe Bwana
Nafsi yangu ikatikati ya Simba
Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale
Na ndimi zao ni upanga mkali peke yangu mimi siwezi
Wameweka wavu iii kuninasa
Nafsi yangu imeinama
Wamechimba shimo mbele yangu, wametumbukia ndani yake
(Bwana uniumbie moyo safiiii ni-kutumikie)
Bwana uniumbie moyo safi
Ili ni-kutumikie
Bwana uniumbie moyo safi
Ili ni-kutumikie
Bwana uniumbie moyo safi
Ili ni-kutumikie

Nimekukimbilia wewe Bwana wangu
Ili nisiahibike milele, kwa haki yako uniponye uniokoe
Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu
Uwe kwangu baba yangu, niumbie moyo safi
Nakuhitaji
Bwana Yesu maishani mwangu
Niumbie moyo safi, Ili nitembee katika kweli yako
Hii ndo haja ya moyo wangu Bwana unisikie
Niumbie moyo safi, niko mbele zako Bwana ninakuomba
Bwana uniumbie Moyo safi
Bwana uniumbie moyo safi
Ili nikutumikie
Bwana uniumbie moyo safi
Ili nikutumikie

Walinizunguka, naam walinizunguka, watesi wangu
Lakini kwa jina la Yesu, naliwakatilia mbali
Walinizunguka, naam walinizunguka, watesi wangu
Lakini kwa jina la Yesu, naliwakatilia mbali
Yesu wewe unaweza
Yesu wewe unatosha
Watumishi wako wote
Utawalinda na kuwatunza
Yesu wewe unaweza
Yesu wewe unatosha
Watumishi wako wote
Utawalinda na kuwatunza
Walinizunguka, naam walinizunguka, watesi wangu
Lakini kwa jina la Yesu, naliwakatilia mbali
Walinizunguka, naam walinizunguka, watesi wangu
Lakini kwa jina la Yesu, naliwakatilia mbali
Yesu wewe unaweza
Yesu wewe unatosha
Watumishi wako wote
Utawalinda na kuwatunza
Yesu wewe unaweza
Yesu wewe unatosha
Watumishi wako wote
Utawalinda na kuwatunza

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : The Sound of Ahsante (Album)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

NEEMA GOSPEL CHOIR

Tanzania

Neema Gospel Choir is a group of born again Christian Singers, members of Africa Inland Church (AICT ...

YOU MAY ALSO LIKE