Mungu Mwaminifu Lyrics

Aliye upande wetu, Ni Mungu mwaminifu
Yesu mwana wa Mungu, Ni Mungu mwaminifu
Aliye upande wetu, Ni Mungu mwaminifu
Yesu mwana wa Mungu, Ni Mungu mwaminifu
Hujishughulisha, Na mambo yetu
Ni Mungu mwaminifu
Hasinzi, halali
Ni Mungu mwaminifu
Aliye upande wetu
Ni Mungu mwaminifu
Hasinzi, halali
Ni Mungu mwaminifu
Aliye upande wetu
Ni Mungu mwaminifu
Yesu mwana wa Mungu, Ni Mungu mwaminifu
Ametutuma Mungu
Kuifanya kazi yake, Tutafanya
Tutakwenda sote
Kutangaza neno lake, Watu wapone
Ametutuma Mungu
Kuifanya kazi yake, Tutafanya
Tutakwenda sote
Kutangaza neno lake, Watu wapone
Majeshi ya malaika zake
Yametuzunguka
Tumeimarishwa na nguvu zake
Bwana Yesu
Majeshi ya malaika zake
Yametuzunguka
Tumeimarishwa na nguvu zake
Bwana Yesu
(Tumetumwa)
Na Yesu mwenyewe, Na Yesu mwenyewe
Anatenda kazi pamoja nasi (Tutangaze neno)
Na watu wapone
Na watu wapone
Bwana Yesu yupo nasi
Yesu eeeh eeh eeeh
Tutakutumikia wewe
Bwana ndiwe uvuli na msaada kwetu
Tutakutumikia wewe
Yesu eeh eeeh eeh
Tutakutumaini wewe
Yesu eeh eeeh eeh
Tutakutumaini wewe
Bwana ndiwe uvuli na msaada kwetu
Tutakutumikia wewe
Bwana ndiwe uvuli na msaada kwetu
Tutakutumikia wewe
Yesu eeh eeeh eeh
Tutakutumaini wewe
Yesu eeh eeeh eeh
Tutakutumaini wewe
Umekuwa mwema
Unatenda mema
Umekuwa mwema
Unatenda mema
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 0
Album : The Sound of Ahsante (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
NEEMA GOSPEL CHOIR
Tanzania
Neema Gospel Choir is a group of born again Christian Singers, members of Africa Inland Church (AICT ...
YOU MAY ALSO LIKE