Home Search Countries Albums

Sijalewa Lyrics


Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Nataka tusahau shida 
Waiter please lete pombe(tupombeke)
Watembezee na wana
Tuwe high sio kinyonge(tupombeke)

Zikivunjwa glass
Tumekuja na vikombe(tupombeke)
Na kama unakunywa
Kunywa kweli usionje(tupombeke)

Ila wengi wakilewa huwa zinashuka chini
Kwangu mimi zinafanya najiamini(ngumi)
Kamwili kadogo najioa kama Tyson
Hujui kucheza unajikuta Michael Jackson

Vichwa panzi bia mbili tayari ashawaka 
Anawaza guest kwenye vichaka
Hakuna pombe za bure bwana, kipo wanachota
We kunywa tu watakubaka

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Pombe ni pombe, steam zinafanana
Hatuchagui kiwanda tunachanganya
We ni ng'ombe nani aliyekudanganya
Kula pombe bila kula unapunguza njaa

Ona akilewa anatapika(pombe hiyo)
Anatoa siri za ndani(pombe hiyo)
Kila wimbo anakatika(pombe hiyo)
Anakojoa hadharani(pombe hiyo)

Vichwa panzi bia mbili tayari ashawaka 
Anawaza guest kwenye vichaka
Hakuna pombe za bure bwana, kipo wanachota
We kunywa tu watakubaka

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

We jikute boss tunamwaga mahela
Wakati wengine wakilewa wanazingua masela
Amaze call me bros and me thinking no hela
Ata ukinifukuza ...woiyoo

Kunyweni pombe
Tunywe pombe masela
Kunyeweni pombe masela(masela)

Kunyweni pombe
Tunywe pombe masela
Kunyeweni pombe masela(masela)

Ona akilewa anatapika(pombe hiyo)
Anatoa siri za ndani(pombe hiyo)
Kila wimbo anakatika(pombe hiyo)
Anakojoa hadharani(pombe hiyo)

Free Nation
The Mix Killer

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Sijalewa (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NAY WA MITEGO

Tanzania

Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, or simply  Mr Nay,  is a Tanzanian r ...

YOU MAY ALSO LIKE