Home Search Countries Albums

Hawakatai

NAY WA MITEGO

Hawakatai Lyrics


Hawakatai, hawakatai
Hawakatai eeh katai, hawakatai  (Hawakatai)
Hawakatai eeh katai, hawakatai 

Sijui wana tamaa ukipendeza wanajileta (Hawakatai)
Sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa (Hawakatai)
Ukimfuata na gari hata kama la kuazima 
Ujue amekwisha huyo  (Hawakatai)

Akikupa namba we tuma salio
Mwambie njoo ghetto  (Hawakatai)
Mmekutana leo, unamwomba leo
Na anakupa leo  (Hawakatai)
Ukimpa mimba mzee, ukimwambie akatoe  (Hawakatai)

---
---

Hawakatai eeh katai, hawakatai  (Hawakatai)
Hawakatai eeh katai, hawakatai 
Hawakatai, katai, katai, hawakatai (Hawakatai)
Hawakatai, katai, katai, hawakatai (Hawakatai)

Eh eh ... hawakatai

Sijui ushamba
Akikupenda hata ukiomba picha za utupu (Hawakatai)
Wanajiona wajanja wakati ulimbo wao ni bia na chips kuku (Hawakatai)

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Hawakatai (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NAY WA MITEGO

Tanzania

Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, or simply  Mr Nay,  is a Tanzanian r ...

YOU MAY ALSO LIKE