Chini Lyrics
Oya oya kumekucha wazee
Fifika ka busy wa bucha wazee
Tule ujana hatufiki uzee
Pesa inatongozwa ukiwa domo zege
Kwani mayai bwana na ifunuliwe
Mama amekaa vibaya usiyachungulie
Wakubwa tunasema mtoto halali na pesa
Ukichunguza mambo yangu utakufa na presha
Hii ni mazoea kabla hujaniomba msamaha
Nasamehe tu
Dunia duara usishindane na ulipotoka
Hio haikomolewi bwana, mwenyewe utachoka
Haya weka, weka weka weka
Weka weka weka
Haya kamatia weka weka weka weka
Weka weka weka
Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)
Chini, chini, chini, chini
Wakipeleka chini waisubirie juu
Maisha mazuri na bado sina makuu
Mtanuna mwisho mtasusa
Si mmeanda tofali mje kujenga ufa
Shida wote tunazo na bado tunabanjuka
Tushamtukana mamba na mto tunaouvuka
Treni imeanguka, mpira umepasuka
Ushajijua una kipara unataka kusuka
Hizo chuki zako ni bure
Huwezi kuwa mimi kafie mbele
Utakuua wivu we ngendele
Tushazichanga changa njoo tule
Haya weka, weka weka weka
Weka weka weka
Haya kamatia weka weka weka weka
Weka weka weka
Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)
Chini, chini, chini, chini
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Chini (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
NAY WA MITEGO
Tanzania
Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, or simply Mr Nay, is a Tanzanian r ...
YOU MAY ALSO LIKE