Sisi Lyrics
Raha kulewa mbele ya maadui zako
Raha kulewa mbele ya maadui zako
Raha kulewa mbele ya ma ex zako
Raha kulewa mbele ya ma ex zako
Iyeee
Chuiii
Eeh vanny boy
S2kizzy baby
Hivi una akili wewe
Zina chaji kweli
Yani uko nabebe ina minyama tukuachie mwenyewe
Hivi una akili wewe
Zina chaji kweli
Yani uko nabebe ina minyama tukuachie mwenyewe
Hivi una akili wewe
Zina chaji kweli
Yani uko na danga lina mehela tukuachie mwenyewe
Hivi una akili wewe
Zina chaji kweli
Yani uko na danga lina mehela tukuachie mwenyewe
Raha kulewa mbele ya maadui zako
Raha kulewa mbele ya maadui zako
Raha kulewa mbele ya ma ex zako
Raha kulewa mbele ya ma ex zako
Shoot kila kitu watuone
Tunavyo kula bata iwachome
Sisi sio level zao watukome
Bado wananuka maziwa watoto wakanyonye
Sisi hao eeh sisi hao
Sisi hao, sio wengine ni sisi hao
Sisi hao, eeh sisi hao
Sisi hao, sio wengine ni sisi hao
Raha kulewa mbele ya maadui zako
Raha kulewa mbele ya maadui zako
Raha kulewa mbele ya ma ex zako
Raha kulewa mbele ya ma ex zako
Shoot kila kitu watuone
Tunavyo kula bata iwachome
Sisi sio level zao watukome
Bado wananuka maziwa watoto wakanyonye
Sisi hao eeh sisi hao
Sisi hao, sio wengine ni sisi hao
Sisi hao, eeh sisi hao
Sisi hao, sio wengine ni sisi hao
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Sisi (Single)
Copyright : ©2023 Next level Music. All rights reserved.
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
RAYVANNY
Tanzania
Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE