Home Search Countries Albums

Washa

KAREN

Washa Lyrics


Aaaaaaaahhh….. Helele.. hmmm

Kwanza shikamoo mapenzi
Utamu wako naujua ga mwenyewe
Kwenda resi mi siwezi
Usiniburuze ukaniacha mwenyewe  

Nimepeta mwandani wangu
(Sinaga fujo)
Kichale cha moyo wangu aaah
Uwanjani kumenoga mapambo
Na doti za vitenge nikamtunze somo oh

Longo longo (longo longo)
Tuzifungie pembeni
Mama mwali u wapi tulisakate ngomaa
Zile ngo ngo (ngo ngo)
Zimepata funga semi
Nitazitoa kimaso maso zikome zao nongwaa

[CHORUS]
Aah baby eeh (washa washa)
Nione raha (washa washa)
Tuhazike maneno (washa washa) Nikune
Wapate habari atakama hawana bando (washa washa)
Leo ndio leo ooh (Washa washa)
Wajikunie penbeni

Hmmm Hmmm
Mapenzi bidhaa isoisha thamani
Na makeke ya chumbani
kudamshi kitandani  burudaani
Zogo usiendekeze
wake ulimi peremendee
Ubani kuchoma kwenye mooto…

Yasijenitesa mazoe aaah
Moyo nikaja kuuchua
Pingu ukazifungua
Wapate la kuongea majirani
Longo longo tuzifungie pembeni
Mama mwali ya wapi tulisakate ngomaa
Zile ngo ngo ngo ooh
Zimepata funga semi
Nizitoe kimaso maso zao nongwa

[CHORUS]
Aah baby eeh (washa washa)
Nione raha (washa washa)
Tuhazike maneno (washa washa) Nikune
Wapate habari atakama hawana bando (washa washa)
leo ndio leo ooh (Washa washa)
Wajikunie penbeni

Zile nganganga ucje kuchomokaa
(doze dozee doze dozee)
chunga na ulimi usije kunikataa (doze doze)
Aaah aah  (Dozee Dozee)
hhmmh (Doze)
oh baby eeeh

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Washa (Single)


Copyright : (c) 2018


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

KAREN

Tanzania

Karen is a recording artiste and singer from Tanzania. Malkia Karen ...

YOU MAY ALSO LIKE