Chizi Lyrics
Mara kwa mara najikazia ah
Nimekupatia
Moyo wangu wewe nakulindia ah
Nafurahia
Nini ulichonipa wewe
Ukikosea maneno matamu nakurudia ah
Bila kufikiria
I see you now I don't
It's like a game of cut and nerves
Mchezo wa pata potea sitaki mimi
Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi
Mara kadhaa umeniumiza aah
Nimekusamehe
Nadhani umebadili unanichezea aah
Nawaza nini ulichonipa wewe
Ukikosea maneno matamu nakurudia ah
Bila kufikiria
I see you now I don't
It's like a game of cut and nerves
Mchezo wa pata potea sitaki mimi
Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi
You always know the right things to say
And the right things to do
Don't want to - chocolates baby boo
Nakutaka tu
I don't know where this is heading to
But I'm so in love with you
Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Chizi (EP)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE