Home Search Countries Albums

Nimeona

ANGEL BENARD

Nimeona Lyrics


Umbali huu nimefika
Si Kwa nguvu zangu
Si uweza wangu
Bwana amefanya
Hapa nasimama
Si Kwa nguvu zangu
Si uweza wangu
Bwana amefanya
Umbali huu nimefika
Si Kwa nguvu zangu
Si uweza wangu
Bwana amefanya
Hapa nasimama
Si Kwa nguvu zangu
Si uweza wangu
Bwana amefanya

Nimeona (Wema wena)
Nimeona (Wema Usiosemeka)
Nimeona (Wema wena)
Nimeona (Wema Usiosemeka)

Nimeona
Mungu asieshindwa
Nimeona
Mungu asopendelea
Nimeona
Rafiki mwaminifu
Nimeona
Shujaa wa vita

Nimeona (Wema wena)
Nimeona (Wema Usiosemeka)
Nimeona (Wema wena)
Nimeona (Wema Usiosemeka)

Bwana ni Mungu
Akisema neno
Linasimama
Bwana ni Mungu
Akisema neno
Linasimama

Nimeona (Wema wena)
Nimeona (Wema Usiosemeka)
Nimeona (Wema wena)
Nimeona (Wema Usiosemeka)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Nimeona (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ANGEL BENARD

Tanzania

Angel Benard is a gospel singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE