Home Search Countries Albums

Mua Lyrics


Nikiwa mbali na uwepo wa macho yako
Mimi mgonjwa siwezi pona
Nitatulia nikikuona aah...aaah

Niwapo ubavuni mwako
Nadeka kama mtoto akiwa kwa mama
Nimetulia nikikuona aaah...aaah

Tabia umenibadilisha
Pozi zote kwisha
Ujeuri ndio kabisa
Nimechange...ii

Nahofia ukija nichoresha
Machozi sipati picha
Safari ukaikatisha
Huku sijiwezi

Najiona hodari
Juu ya penzi lako
Sina habari
Juu ya penzi lako

Nimeonja asali
Juu ya penzi lako
Najiona mbali

Najiona hodari
Juu ya penzi lako
Sina habari
Juu ya penzi lako

Nimeonja asali
Juu ya penzi lako
Najiona mbali

Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua
Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua

Unavyonikanda na kunitua
We nigangue nikiugua
Unanifanya najishebedua
Ayee..

Puliza marashi wapi mafua
Wanaopenda kudadavua
Sie tunapika na kupakua
Ayee..ayee

Hatuna kelele
Tunaendana, endana
Mpaka milele eeh 
Tutazikana

Najiona hodari
Juu ya penzi lako
Sina habari
Juu ya penzi lako

Nimeonja asali
Juu ya penzi lako
Najiona mbali

Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua
Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua

Kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mua (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MIMI MARS

Tanzania

Mimi Mars ( Marianne Mdee) is a singer and song writer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE