Home Search Countries Albums

Ngongingo

RAYVANNY

Ngongingo Lyrics


Ngongingo, wowowo!
Ana ngongingo, wo-wo

(It's S2kizzy Beiby)

Ngongingo, wowowo
Ana ngongingo, wowowo 
Nampenda! 
Ana ngongingo, wowowo
Ngongingo, wowowo

Kamodomodo lake dogo dogo (Ngongingo)
Akiwa na kubwa la mitego tunaita (wowowo)
Kama mchina na anakunywa vidonge (Ngongingo)
Akipewa na mama lake kweli kweli (Wowowo)

Kama ni gumu gumu, gumu cimenti (Ngongingo)
Kama kina dunda dunda dunda kitenesi (Wowowo)
Pishanisha miguu jibenue kwenye picha (Ngongingo)
Ka umepigwa pasi kigodoro kinahusika (Wowowo) 

Posh queen Sanchoka 
Pachu pachu (Wowowo)
Vipi la Menina 
Wa mwijaku (Wowowo)

Nampenda! Ana ngongingo, wowowo
Ana ngongingo, wowowo 
Nampenda! Ana ngongingo, wowowo
Ngongingo, wowowo
Nampenda! Ana ngongingo, wowowo 
Ngongingo!

Eeh kama Semitera 
Mneso mneso nyuma kalambwanda wowowo
Ebo! Kama kiduchu hakinesi kwa kanga 
Ngongingo !

Ah! ah! la mama Paula 
Kajala Masaka (Wowowo)
Eh bwana! Vipi cha Nandy 
We! Kinabamba (Ngongingo)

La Vera Sidika (Wowowo) 
Gigy misifa (Wowowo)
La shishi baby 
Pale akiwa anapika (Wowowo)

Ke kerekeke (Ah kekeke) 
Aaii kekeke (Aai kekeke)
Irene Uwoya we lazima akuteke

Nasema ke kerekeke (Ah kekeke) 
Aaii kekeke (Eeeh kekeke)
La madam Wema je 
Wapi tuliweke? (Ngoo!)

Nampenda! Ana ngongingo, wowowo
Ana ngongingo, wowowo 
Nampenda! Ana ngongingo, wowowo
Ngongingo, wowowo
Nampenda! Ana ngongingo, wowowo 
Ngongingo! Wowowo

Ah inama eh (Aina, ainama ainama eh)
Tuonyeshe una nini Ainama eh
Ah inama eh (Aai na, ainama ainama eh)
Ngongingo, wowowo?

Ah inama eh (Aina, ainama ainama eh)
Tuonyeshe una nini Ainama eh
Ah inama eh (Aai na, ainama ainama eh)
Ngongingo, wowowo?

Hahahaha
All in all tumeua
(Kwa Mix Lizer)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ngongingo (Single)


Copyright : (c) 2020 WCB Wasafi.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RAYVANNY

Tanzania

Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...

YOU MAY ALSO LIKE