Home Search Countries Albums

Haina Maana

MIMI MARS

Read en Translation

Haina Maana Lyrics


Nijipoze na nini?
Moyo mi unanipwita pwita
Nakunywa ananisahau
Bado yanakita kita

Kila siku kwanini?
Kwangu mapicha picha
Aah sina angalau

Naonyesha kujali aone napenda 
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama 
Kuruhusu kichwani aniingie

Nikaacha kujali 
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie 
Aaah nazama 
Na kwa yote nilotenda kwake

Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana

Kujishusha hata kama hanikosei
Na bado msamaha nimwombe
Kuzidisha upole nisiongee
Na bado yanidode

Na kama sina sina bahati 
Naacha kupenda
Manoti noti 
Mashachoka maumivu ya kutenda
Na kama sistahili naacha

Naonyesha kujali aone napenda 
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama 
Kuruhusu kichwani aniingie

Nikaacha kujali 
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie 
Aaah nazama 
Na kwa yote nilotenda kwake

Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Haina Maana (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MIMI MARS

Tanzania

Mimi Mars ( Marianne Mdee) is a singer and song writer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE