Haina Maana Lyrics

Nijipoze na nini?
Moyo mi unanipwita pwita
Nakunywa ananisahau
Bado yanakita kita
Kila siku kwanini?
Kwangu mapicha picha
Aah sina angalau
Naonyesha kujali aone napenda
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama
Kuruhusu kichwani aniingie
Nikaacha kujali
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie
Aaah nazama
Na kwa yote nilotenda kwake
Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana
Kujishusha hata kama hanikosei
Na bado msamaha nimwombe
Kuzidisha upole nisiongee
Na bado yanidode
Na kama sina sina bahati
Naacha kupenda
Manoti noti
Mashachoka maumivu ya kutenda
Na kama sistahili naacha
Naonyesha kujali aone napenda
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama
Kuruhusu kichwani aniingie
Nikaacha kujali
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie
Aaah nazama
Na kwa yote nilotenda kwake
Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Haina Maana (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MIMI MARS
Tanzania
Mimi Mars ( Marianne Mdee) is a singer and song writer from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE