Home Search Countries Albums

Ulimi Yangu

MEJJA Feat. DJ NEPHAS

Ulimi Yangu Lyrics


Ni ile siku kila kitu huenda poa ah
Rent umelipa, stima umelipa
Dem hana nuks ametulia
Ako kwa moods anakupikia

Food ikiiva ashapakua
Ashaniuliza inataste aje?
Nishamwambia si ungeeka spice kiasi
Akijam namdanganya iko poa

Anadai twende out
Namwambia badilisha basi twende
Akivaa "Nakaaje kabla nitoke?"
Okey ume-colour crash
Hio top na hio mini ah-ah kwangu hazimatch

Anajam anajishika kiuno
Ananitolea mi huwa sikuget
Kila kitu mi hufanya hu appreciate
Ooops ulimi yangu kulikuwa na amani
Sasa nimeleta taabu 

Eeh! Ulimi yangu, huniletea noma tu 
Nakwambia eeh! Ulimi yangu
Huniletea nuks tu
Nakwambia eeh! Ulimi yangu huniletea noma

Ni sato jioni around 3
Nilikuwa kwa stage nategea tu ma3
Dem alinipita akasimama kando yangu
Baadae kidogo nikaona wasee watatu
Aaah wakasimama kando yake

Hakuwa anaskia wakiiba kwa kibeti yake
Nikawika "Wezi Wezi"
Kidogo wakanigeukia mimi
Wakanishika mashati wakaniangusha chini
"Iko iko" wakanipiga mangumi makofi
Wakanikanyangia chini

Mmoja akanikondolea macho
"Kijana siku ingine ufikirie maneno yako"
Watu walikuwa wanaangalia
Hakuna kitu wanafanya  na wanacheki naumia
Mpaka ule dem nilikuwa nasaidia
Nikawish ningenyamazisha ulimi
Ka hii ndo kusaidia, tena sio mimi

Eeh! Ulimi yangu, huniletea noma tu 
Nakwambia eeh! Ulimi yangu
Huniletea nuks tu
Nakwambia eeh! Ulimi yangu huniletea noma

Aah! Kwa kampuni watu walikuwa wananyanyaswa
Nikaskia kuna mgomo ilikuwa inapangwa
Na vile mi hukuwa msee wa mdomo nikaambiwa 
"Mejja we ndo utakuwa spokesman wetu"

Nikawaambia na nikipoteza kazi yangu?
Wakaniambia nitakuwa nyuma yako
Kidete mpaka mwisho 
Mgomo kuanza nilikuwa mstari wa mbele

Na maplacards na makelele
Ungeniona nilikuwa kichwa ngumu
Nikiwika "Tunataka haki yetu"
Baadae wadosi walitimiza
Ile kitu wafanyikazi walikuwa wanataka

Siku ya pili kwenda kazi mi kufika
Nikachapiwa "Mejja ushafutwa"
Nikawaambia si mnafaa kuwa nyuma yangu
Walinilenga wakaniacha peke yangu
Heri ningejua ninyamazishe ulimi wangu

Eeh! Ulimi yangu, huniletea noma 
Haha haha...

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Ulimi Yangu (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MEJJA

Kenya

Mejja aka Okwonko real name Major Nameye Khadija is an artist from Kenya, a member of the Kanso ...

YOU MAY ALSO LIKE