Tabia za wa Kenya (Kanairo) Lyrics
(Vicky pon dis)
Karibu Kanairo karibu Kenya
Kuja nikushow vako za wakenya
Tuna talanta ya kucheki weather
Hio jua, hio jua ni ya mvua
Na ni kali eeh niko sure
Ukiwa kejani uskie umeboeka
Ukiona memes unaanza kucheka, hio ni Kenya
Bahati yako mbaya ukichoma picha
Utapewa hashtag eeh hapo Twitter, uta Trend
Customer Kenya ndo husema asanti
Na ni yeye amelipa, na aseme asanti badala ya muuzaji
Karibu Kenya, tuna tabia zetu tu (Tu)
Karibu Kenya, si Masai Mara tu (Tu)
Tuna madem peng (Peng), mamorio mabazeng
Lugha ya Taifa ni sheng (Sheng)
Karibu Kenya
Tuna madem peng (Peng), mamorio mabazeng
Lugha ya Taifa ni sheng (Sheng)
Kanairo, tabia ya wakenya ya kutuma mail
"Ulituma mail?" Buda nilituma
Kwani haukuiona? Hio ni uongo
Customer Kenya akisema "Nitarudi"
Kila mkenya anajua huyo harudi
Mkenya akienda choo na aone kuna mtu
Bado atabisha na aulize "Kuna Mtu?"
Masaa na mkenya lazima atachelewa sana
Lakini sherehe tunafika mapema .. tena sana
Na tunateta umetuweka
Karibu Kenya, tuna tabia zetu tu (Tu)
Karibu Kenya, si Masai Mara tu (Tu)
Tuna madem peng (Peng), mamorio mabazeng
Lugha ya Taifa ni sheng (Sheng)
Karibu Kenya
Tuna madem peng (Peng), mamorio mabazeng
Lugha ya Taifa ni sheng (Sheng)
Ah Kanairo
Excuse ya Mkenya akikunyima pesa
Atadai "Buda I wish ungenipigia mapema"
Nilikuwa na hio pesa nikatumia matha
Sai sai tu
Ukikuja Kenya heshimu watu watatu
Akina nani? Mwizi polisi kegonyi wa matatu
Kwanini? Uliza Mkenya atakwambia sababu
Tunapenda sherehe ah
Tunapenda mneti yoh
Watoto wa Kenya ni warembo
Watoto wa Kenya ni ma pengtinf
Karibu Kenya, tuna tabia zetu tu (Tu)
Karibu Kenya, si Masai Mara tu (Tu)
Tuna madem peng (Peng), mamorio mabazeng
Lugha ya Taifa ni sheng (Sheng)
Karibu Kenya
Tuna madem peng (Peng), mamorio mabazeng
Lugha ya Taifa ni sheng (Sheng)
Kanairo
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Tabia za wa Kenya (Kanairo) (Single)
Copyright : © 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MEJJA
Kenya
Mejja aka Okwonko real name Major Nameye Khadija is an artist from Kenya, a member of the Kanso ...
YOU MAY ALSO LIKE