Home Search Countries Albums

Maisha Tiki

MEJJA

Maisha Tiki Lyrics


Kaa kuna kitu naogopa nikuandika jina God, na small letters
Cheki vile genge inatesa niko na mazina, na cheza na mpesa
Spicy, cheki shingo iko icy
Ni baraka ya Almighty maisha tiki kama nikii ha ha
Kaa hauna pesa rudi home, story ya kuomba pombe aha
Manze ina bore
Behind every smile kuna kaa roho chafu ehe
Kaa rada ya watu
Huyu manzi amebeda masheveshe, yaani haga wa wetete
Usiku sacco tupatane hapo inje
Sherehe leo iazima tupige
Spicy, cheki shingo iko icy
Ni baraka ya Almighty maisha tiki kama nikii ha ha

Si ulikuja kukunywaaaa, usipapase chupaaaa
Doba haiwezi iishia hapo mzing
Rudisha beat
Yooooh
Freedom is coming hahaaaa
Producer krome
Yoh yoh yoh yoh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Maisha Tiki (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MEJJA

Kenya

Mejja aka Okwonko real name Major Nameye Khadija is an artist from Kenya, a member of the Kanso ...

YOU MAY ALSO LIKE