Bila Pesa Lyrics

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo hawakuwa na money
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani
Bila pesa bila money
Kanifia msalabani
Cheki bro relax chill skiza flow
Amenijenga na asiniulize wapi doh
Cheki bro relax chill skiza flow
Ka unataka ukweli mi sinaga doh
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
1, alinitoaga Voi
Sasa niko jiji shetani hatoboi
2, akanipa mziki
Nampa shukurani zangu toka moyoni
3, ananipenda sana
Namuimbia Hosana
4, siku zote sitamuacha
Ata nikisota atabaki kuwa mwamba
Nikimwendea hunipokea
Na njia zake mimi nafuatilia
Nikiongea nikitembea
Yeye huwa nami kote naelekea
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Bila Pesa (Single)
Copyright : (c) 2019 EMB records.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
WEEZDOM
Kenya
Weezdom is a Gospel Musician from Kenya. He is signed at EMB Entertainment. ...
YOU MAY ALSO LIKE