Home Search Countries Albums

Bila Pesa

WEEZDOM Feat. PETER BLESSING

Bila Pesa Lyrics


Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo hawakuwa na money

Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani
Bila pesa bila money
Kanifia msalabani

Cheki bro relax chill skiza flow
Amenijenga na asiniulize wapi doh
Cheki bro relax chill skiza flow
Ka unataka ukweli mi sinaga doh

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

1, alinitoaga Voi 
Sasa niko jiji shetani hatoboi
2, akanipa mziki 
Nampa shukurani zangu toka moyoni

3, ananipenda sana
Namuimbia Hosana
4, siku zote sitamuacha 
Ata nikisota atabaki kuwa mwamba

Nikimwendea hunipokea
Na njia zake mimi nafuatilia
Nikiongea nikitembea
Yeye huwa nami kote naelekea

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye

Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Bila Pesa (Single)


Copyright : (c) 2019 EMB records.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WEEZDOM

Kenya

Weezdom is a Gospel Musician from Kenya. He is signed at EMB Entertainment. ...

YOU MAY ALSO LIKE