Simba Lyrics
Simba kimataifa, taifa wapinzani mtasubiri
Washindi wa vikombe na medali
Bila biriani kachumbari
Muulize mama je anajua, gome zitaua ba
Na mdogomdogo utatwarwa
Simba hainichinje mie
Na hizo pasi utanitoa roho
Madoidi yatosha
Waone wapinzani hawajitambui
Nyi mko ngomani na mpira hawajui
Mwone mzee mpili analia
Jamani mtaamua ma
Moh nichinje mie kwa hio mihela utanitoa roho
Jamani mie, mimi ni simba damu kuwa malaya wa timu siwezi
Kama iwe, izungu msukule kamfukuzisha na ujenzi
Mshenzi vunja bei unamjua, oh jamani unamjua
Jamani na Mobetto, unamjua
Mbunge shangazi unamjua
Hivi grand scare unamjua
Magoli anachenja kadi, anachenja kadi
Anachanja kadi, anachanja kadi
Nabanga anachenja kadi, anachenja kadi
Anachenja kadi, anachenja kadi
Hamstone ana chanja kadi
Basi twende taifa tukaenjoy
Oh jamani tukaenjoy
Pamoja simba day tukaenjoy
Oh jamani tukaenjoy
Na uzi wa simba tukaenjoy
Oh jamani tukaenjoy
Pendeza kisimba tukaenjoy
Jamani leo ndo leo leo, tunacheza mpaka asubuhi
Mama leo, tunaruka mpaka asubuhi
Jamani leo, tunacheza mpaka asubuhi
Simba day leo, tunaruka mpaka asubuhi
Jamani oh wakali mama, wana ukali gani kama simba?
Si wakali mie, wana ukali gani kama simba?
Jamani oh wakali mama, wana ukali gani kama simba?
Wakali kutuzidi sie, wana ukali gani kama simba?
Halleluyah, Amen Amen
Halleluyah, Amen Amen
Halleluyah, Amen Amen
Halleluyah, Amen Amen
Wanasimba Halleluyah, Amen Amen
Halleluyah, Amen Amen
Halleluyah, Amen Amen
Halleluyah, Amen Amen
Salam anachenja kadi, anachenja kadi
Mwijaku anachenja kadi, anachenja kadi
FY anachenja kadi, anachenja kadi
Dimpoz anachenja kadi, anachenja kadi
Basi twende taifa tukaenjoy
Oh jamani tukaenjoy
Pamoja simba day tukaenjoy
Oh jamani tukaenjoy
Na uzi wa simba tukaenjoy
Oh jamani tukaenjoy
Pendeza kisimba tukaenjoy
Waje, waje, waje, waje
Na wanangu mpira pesa, waje
Waje....
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Simba (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MEJA KUNTA
Tanzania
Meja Kunta aka PARISH LAWAL is an artist from Tanzania. Singeli artist at Uswazi music. Me ...
YOU MAY ALSO LIKE