Tena Lyrics

S2kizzy baby
Jasho lilinitoka mwenzenu
Hata kwenye ac
Yule nilosema ni shemeji yenu
Alinipandisha bp
Ngumi mkononi kuvaana maungoni
Yemi sijazoea
Yanamtoka mdomoni nakosa silioni
Mwenzangu ananifokea oooh nono
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Mambo ya kulilia mapenzi
Ni miaka ya tisini kushuka chini
Watoto wa elfu mbili hawawezi haya mambo
Hilo uweke akilini
Ngumi mkononi kuvaana maungoni
Mimi sijazoea
Yanamtoka mdomoni nakosa silioni
Mwenzangu ananifokea oooh nono
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2025
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
MBOSSO
Tanzania
MBOSSO Khan (real name Mbwana Yusuph Kilungi born 3rd October 1991) is an artist | ...
YOU MAY ALSO LIKE