Home Search Countries Albums

Nadekezwa

MBOSSO

Read en Translation

Nadekezwa Lyrics


Hohohoo hohoo hoho … Hohohoo hohoo hoho

[Verse 1]
Salamu ulizo nitumia ah
Zimenifikia  ah
Nipo salama hata usijali
Nalishwa vitamu
Vinono najilia
Biliyani yangamia
Penzi twa dalikana poo kidali

Nimekusahau
Nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau ah
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina

Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia
(hukumweza ukaatema)

Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
(hukumweza ukaatema)
Eeeheeehee

[CHORUS]
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

[Verse 2]
Yanimashamu shama mtoto kanikabiri ooh
Hadi na come come kuminambili arufajiri

Na nishamvesha nyota cheochake kikubwa cha mapenzi
Kanijaza kanichota kanishika pabayaa

Nakutadharisha simu zausiku punguza
Unahatarisha penzi langu moto kuunguza

Nishakusahau nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau anh
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko  umechina

Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia {hukumweza ukaatema}

Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
 {hukumweza ukaatema}eeeheeehee

[CHORUS]
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Nadekezwa (Album)


Added By : melodytz

SEE ALSO

AUTHOR

MBOSSO

Tanzania

MBOSSO Khan (real name Mbwana Yusuph Kilungi  born 3rd October 1991) is an artist |   ...

YOU MAY ALSO LIKE