Home Search Countries Albums

Vimba

MAUA SAMA

Vimba Lyrics


Usiku hulali unaumia tena unawaza
Kukicha maswali na stress umejaza
Inaniumiza kukuona unaumia wewe Baba
Najua unanipenda
Ila unawaza labda nitakimbia
Kisa Mimi ni Star ndo unahofia labda nitakimbia

Nimeridhika mimi (aaah aaah)
Na hali yako hiyo (aaah aaah)
Nataka uvimbe Baby (aaah aaah)
Mi ni wako pekee (aaah aaah)

Vimba Vimba Vimba (Kama unanipenda)
Vimba Vimba Vimba (Amini Unapendwa)
Vimba Vimba Vimba (Watu waoneshe)
Vimba Vimba Vimba uuuuhhh

Tambua Kipaji kanipa Maulana Ni karama
Unaponyong'onyea unaniumiza sana ooh Bwana
Tena unatetemeka (Tetee)
Ukiniona unasita, Kijasho kinakutoka (mmmh)
Wanipa Raha, si masikhara, Dhahiri nasema
Twende kwa Baba Mzee Sama
Tumalize Biashara
Najua unanipenda
Ila unawaza labda nitakimbia
Kisa Mimi ni Star
Ndo unahofia labda nitakimbia (Yeeea yeiyaaeh)

Nimeridhika mimi (aaah aaaah)
Na hali yako hiyo (aaah aaaah)
Nataka uvimbe Baby (aaah aaaah)
Mi ni wako pekee (aaah aaaah)

Vimba Vimba Vimba (Kama unanipenda)
Vimba Vimba Vimba (Amini Unapendwa)
Vimba Vimba Vimba (Watu waoneshe)
Vimba Vimba Vimba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Cinema (Album)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MAUA SAMA

Tanzania

MAUA SAMA  is an artist from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE